sw_tn/jas/03/01.md

964 B

sio watu wengi

"siyo wengi wenu" Yakobo anatengeneza senyensi ya jumla.

Ndugu zangu

"wapendwa waumini wenzangu."

tutapokea hukumu kubwa sana

"Mungu atatuhukumu sisi kwa nguvu kwa sababu hatuna udhuru, wakati tufanyapo dhambi kwa sababu twajua na kufahamu Neno lake vizuri kuliko watu wengine."

Tutapokea

Yakobo anapanga makundi ya wale ambao hufundisha Maandiko kama yeye. Ingawa baadhi ya waumini ambao wangepokea barua hii, wangekuwa walimu wa Maandiko, wengi wasingeweza.

Kwa kuwa wote tunajikwaa.

Neno "wote" Yakobo amelitumia kumaanisha hadhira yake.

Kujikwaa

Dhambi imezungumzwa kama tendo la kujikwaa wakati wa kutembea. "kuanguka au kutenda dhambi"

Hawezi kujikwaa katika maneno yake.

"Hawezi kufanya dhambi kupitia maneno anayo zungumza."

Ni mtu mkamilifu.

"Amekomaa kiroho"

Kuongoza mwili wake wote.

Yakobo anazungumza juu ya moyo wake, hisia zake, na matendo yake. "kuongoza tabia yake" au "kuongoza matendo yake"