sw_tn/jas/02/25.md

864 B

Hali kadhalika, ... haki kwa matendo

Yakobo alikuwa anasema kama ilivyokuwa kweli kwa Abrahamu ndivyo ilivyokuwa kweli kwa Rahabu. wote walihesabiwa haki kwa matendo.

hakuwa Rahabu yule kahaba alihesabiwa haki kwa matendo ... barabara nyingine

Yakobo alitumia swali kuwaelekeza watu. "hakuwa Rahabu yule kahaba alihesabiwa ... barabara nyingine."

Rahabu yule kahaba

Rahabu alikuwa mwanamke aliyezungumzwa katika agano la kale na Yakobo alitegema hadhira yake inafahamu.

haki kwa matendo

Yakobo anazungumzia matendo kama kitu cha kumiliki.

wajumbe

Watu wanaoleta habari njema toka sehemu nyingine.

kuwapeleka kwa barabara nyingine

"aliwasaidia kutoroka mjini"

Kwa kuwa kama vile mwili usipokuwa na roho umekufa, vivyo hivyo imani pasipo matendo imekufa.

Yakobo anazungumzia imani imani isiyo na matendo kama mwili uliokufa usio na roho.