sw_tn/jas/02/21.md

1.4 KiB

Maelezo ya jumla

Kwa kuwa kulikuwa na waamini wa Kiyahudi walijua habari za Abrahamu ambaye waliambiwa na Mungu zamani.

Je, si baba yetu Abrahamu alihesabiwa haki

Hili ni swali linalotumika kuwakemea wapumbavu walioelezewa toka 2:18 waliokataa kuamini kuwa imani na matendo vinaenda sambamba." Abrahamu baba yenu alihesabiwa haki."

haki kwa matendo

"haki kwa kufanya matendo mema"

Baba

"baba" imetumika kama "mababu"

Mnaona

Neno "wewe" linamaanisha umoja. Yakobo anaongea na hadhira yake kama anaongea na mtu mmoja.

mnaona

kuona inaweza kumaanisha "kuelewa"

imani yake ilifanya kazi na matendo yake

Yakobo anazungumzia imani inafanya matendo mema. Imani ya Abrahamu kwa Mungu kuhusu Isaka inamfanya Abrahamu kumheshimu Mungu kwenye wakati mgumu. Kwa kumheshimu Mungu imani yake ikakuwa.

kwa matendo imani yake ilifikia kusudio lake

Kwa kumwamini Mungu Abrahamu alitimiza kusudi la Mungu. "kwa kuwa Abrahamu alimtii Mungu alimwamini Mungu kabisa"

Maandiko yalitimia

"Hii ilitimiza maandiko"

Akahesabiwa kuwa ni mwenye haki

"Mungu aliiona imani yake kuwa imemfanya kuwa mwenye haki." Imani ya Abrahamu na haki vilimpa thamani.

mnaona

Yakobo tena anazungumza na hadhira yake kwa kutumia wingi toka kwenye umoja "wewe"

kwa matendo mtu huhesabiwa haki, na si kwa imani tu .

"Matendo na imani ndio yanayomfanya mtu kuwa na haki na sio imani tuu."