sw_tn/jas/02/01.md

1.0 KiB

Sentensi unganishi:

Yakobo anaendelea kuwaambia waamini wa Kiyahudi waliotawanyika namna ya kuishi kwa kupendana na kuwakumbusha kutowapendelea matajiri juu ya masikini.

Ndugu zangu

Yakobo anawaandikia ndugu zake ambao ni waamini wa Kiyahudi . "waamini wenzangu" au "ndugu zangu katika Kristo"

Ishikeni imani ya Bwana Yesu Kristo

Mwamini Yesu Kristo.

Bwana wetu Yesu Kristo

Neno "wetu" linamaanisha Yakobo na waamini wenzake.

upendeleo kwa watu wengine

shauku ya kumsaidia mtu fulani zaidi ya mwingine

Kama mtu fulani

Yakobo anaanza kuelezea hali ambayo waamini wanamthamini sana tajiri kuliko masikini.

amevaa pete za dhahabu na mavazi mazuri

"amevaa kama mtu tajiri"

keti hapa mahali pazuri

"keti hapa sehemu ya heshima"

simama pale

"hamia sehemu isiyo na heshima"

Kaa chini ya miguu yangu

Hamia sehemu ya kunyenyekea

Je, hamuhukumiani ninyi wenyewe, na kuwa waamuzi wenye mawazo mabaya?

Yakobo alitumia swali kuwakemea wasomaji wake. "Mnahukumiana wenyewe kwa wenyewe na kufanya maamuzi mkiwa na mawazo mabaya"