sw_tn/jas/01/14.md

825 B

Kila mtu anajaribiwa na tamaa zake mwenyewe

Tamaa za mtu zinazungumzwa kama vile mtu mwingine ameshawishi afanye dhambi.

Zinamshawishi na kumvuta mbali

Tamaa mbaya zinaendelea kuzungumzwa kama mtu anavyoweza kumshawishi mwingine.

Kushawishi

kuvutia, kumshawishi mtu kufanya uovu.

Ndipo baada ya tamaa ya dhambi kubeba mimba, dhambi huzaliwa, na baada ya dhambi kukomaa sawasawa, huishia katika mauti.

Tamaa inaendelea kuzungumzwa kama mtu, na hapa inaelezewa wazi kama mwanamke mwenye mimba ya mtoto. mtoto anaelezewa kama dhambi. Thambi ni mtoto mwingine wa kike ambaye anakuwa na kupata mimba naanazaa kifo. Mtiririko huu ni picha inayoonyesha namna ambavyo mtu atakufa kiroho na kimwili kwa sababu ya tamaa zake mbaya na dhambi.

Msidanganyike

"Msiache mtu yeyote awadanganye" au "msijidanganye wenyewe"