sw_tn/jas/01/12.md

902 B

Sentensi unganishi.

Yakobo anawakumbusha waamini wanaosema Mungu hasababishi majaribu; anawaambia namna ya kukabiliana na majaribu.

Baraka

Bahati, vizuri.

Kuvumilia majaribu

Kuendelea kuwa mwaminifu kwa Mungu uwapo katika magumu.

Kushinda majaribu

Amethibitishwa na Mungu.

Kupokea taji ya uzima

Uzima wa milele unazungumziwa kama taji ya maua inayowekwa kwenye kichwa cha washindi. "pokea uzima wa milele kama tuzo"

Imeahidiwa kwa wale wanaompenda Mungu.

Hii imeelezewa katika hali ya utendaji "Mungu aliahidi taji ya uzima kwa wale wampendao"

Anapojaribiwa

"Anapotamani kufanya uovu"

Nimejaribiwa na Mungu

Hii imeelezewa katika hali ya utendaji. "Mungu amesababisha nifanye maovu"

Mungu hajaribiwi na uovu

Hii imeelezewa katika hali ya utendaji. "Mungu hatamani kufanya lolote ovu"

Wala mwenyewe hamjaribu yeyote

"Na Mungu mwnyewe hamsababishi mtu kufanya uovu"