sw_tn/jas/01/09.md

959 B

Ndugu masikini

"mwamini asiye na pesa nyingi"

Kujivuna kwa cheo chake cha juu

Mtu ambaye Mungu anembariki anazungumza kama vile amesimama mahali pa juu sana.

Lakini tajiri

"lakini mtu aliye na pesa nyingi." Maana nyingine ni 1) huyu mtu tajiri ni mwamini, au 2) huyu mtu tajiri si mwamini.

Wa cheo cha chini

Mwamini tajiri anapaswa kufurahi kwamba Mungu ameyaruhusu mateso. "anapaswa kuwa na furaha kwamba Mungu amempa nafsi hiyo"

Atapita kama ua la porini kwenye majani

Matajiri wanafananishwa na maua ya porini ambayo yanakuwa hai kwa mda mfupi.

Mtu tajiri atachakaa katikati ya safari zao

Kama ambavyo maua hayafi ghafla lakini yanachakaa kwa mda mfupi , pia matajiri hawatakufa ghafla lakini watachukua mda mfupi kupotea.

Katikati ya kazi yake.

Shughuli za kila siku za tajiri zinazungumzwa kama safari aliyokuwa anaifanya. Hii inaelezea namna ambavyo hakufikiri chochote juu ya kifo chake hapo baadae na hivyo kitakuja ghafla.