forked from WA-Catalog/sw_tn
8 lines
423 B
Markdown
8 lines
423 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Yahwe anaendelea kuzungumza kuhusu Yerusalemu kana kwamba ilikuwa mama na wakazi wa Yerusalemu kana kwamba walikuwa watoto wachanga wapya.
|
|
|
|
# Kwa maana utanyonya na kutosheka; kwa matiti yake utafarijiwa
|
|
|
|
Hii ina maana Yerusalemu itakuwa sehemu ya usalama na faraja kwa watu wa Mungu. Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Kwa maana atakuridhisha kwa maziwa yake; atakufariji kwa matiti yake"
|