sw_tn/isa/66/02.md

574 B

Yahwe anaendelea kuzungumza.

Yahwe anaendelea kuzungumza.

Mkono wangu umefanya vitu hivi vyote

"Mkono" ina maana ya nguvu na mamlaka ya Yahwe, sio mwili wa kihalisia.

Tamko la Yahwe

Hii inaweza kuandikwa upya ili kwamba nomino dhahania "tamko" linaelezwa kama kitenzi "kutamka" au "alisema kwa dhati". "hiki ndicho Yahwe wa majeshi alvyotamka" au "hiki ndicho Yahwe wa majeshi alivyosem kwa dhati".

waliovunjika na walio na majuto rohoni

Hapa "kuvunjika" na "kujuta" ina maana ya mtu ambaye ni mnyenyekevu kiukweli na ambaye huteseka kwa ajili ya imani yake.