forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
845 B
Markdown
20 lines
845 B
Markdown
# Ni nani huyu ajaye kutoka Edomu ... Bosra
|
|
|
|
Isaya anazungumza kama mlinzi kwa kutumia mfumo wa swali na jibu kuwakilisha taarifa hii juu ya hukumu ya Yahwe kwa Edomu, adui wa Israeli. Swali hili la balagha linaweza kutafsiriwa kama kauli. "Mimi, Yahwe, ninakuja kutoka Edomu, nikiwa nimevaa mavazi mekundu kutoka Bosra"
|
|
|
|
# Bosra
|
|
|
|
Huu ni mji mkuu wa Edomu.
|
|
|
|
# Ni Mimi
|
|
|
|
Hapa "Mimi" ina maana ya Yahwe.
|
|
|
|
# Kwa nini nguo zako ni nyekundu, na kwa nini ... kishinikizo cha zabibu
|
|
|
|
Swali hili la balagha linaweza kutafsiriwa kama kauli. "Wekundu katika nguo zako zinakufanya uonekane kana kwamba ulikuwa ukikanyaga ju ya zabibu katika kishinikizo cha zabibu"
|
|
|
|
# kishinikizo cha zabibu
|
|
|
|
Kishinikizo cha zabibu ni sehemu ya chini iliyochongwa kwa jiwe katika ardhi ambapo wafanyakazi hukanyaga zabibu kuziponda kwa miguu yao, ili kutoa juisi ya zabibu.
|