sw_tn/isa/61/10.md

1.1 KiB

Nitafurahi sana katika Yahwe

"Nita" ina maana ya watu wa Mungu wakizungumza kama mtu mmoja ambaye Yahwe amerejesha.

amenivisha kwa mavazi ya wokovu; amenivisha na joho la utakatifu

Watu wa Mungu kuzungumza kama mtu mmoja sasa wa wokovu na utakatifu kama muonekano wao tofauti unavyoonekana kwa wote. "Mavazi" na "joho" ni nguo ambazo kila mtu anaweza kuona.

kama bwana arusi anavyojipamba na kilemba, na kama bibi arusi anavyojiremba na vito vyake

Mlinganisho huu unasisitiza ya kwamba mwandishi ana furaha sana, anasherehekea.

kilemba

"kilemba cha kichwani" au "kifuniko kizuri cha kinywani". Hii ni kitambaa kirefu cha nguo kinachozunguka kichwa.

Kwa maana kama nchi izaavyo mimea yake inayochipuka, na kama bustani inavyofanya mimea yake kuota

Huku ni kusema kitu kima kwa njia mbili. Ukweli ya kwamba chochote Mungu anachosema atafanya hakika kitafanyika kinalinganishwa na ukweli kwamba mbegu huchipuka baada ya kupandwa. "Kama vile mbegu zinavyopandwa katika bustani huchipuka kutoka kwenye udongo na kuota"

utakatifu na sifa kuchipuka juu

Msemo huu unaelezea sifa hizi kama kuota kutoka kwa mbegu kama mimea inavyofanya.