sw_tn/isa/56/09.md

658 B

Nyie wote wanyama wa mwitu wa shambani, njooni na mmeze, nyie wanyama wote wa msituni

Mungu aliwaita majeshi wa mataifa mengine kwa kuwalinganisha na wanyama kuja na kushambulia watu wa Israeli.

Walinzi wao wote ni vipofu

Hii ina maana ya viongozi wa Israeli hawawezi au labda hawataki kuona kile kinachotendeka katika jamii.

Wote ni mbwa walionyamaza

Viongozi wanatakiwa kufungua vinywa vyao na kuwaonya watu, lakini hawafanyi hivyo. Kulinganisha mtu na mbwa katika jamii hii ni fedheha kubwa.

Wanaota, na kujilaza chini wanapenda kulala

Hii ina maana viongozi hawaleti neno la Mungu la kuwaonya Waisraeli lakini wanapenda zaidi starehe yao.