sw_tn/isa/56/03.md

443 B

Tazama, mimi ni mti mkavu

Hii ina maana matowashi walifikiri wangeweza kuwa sehemu ya watu wa Mungu kwa sababu walibadilishwa kwa kuhanithishwa (na kwa sababu hii hawawezi kupata watoto). Waisraeli hawafanya zoezi la kuhasi, wageni walifanya, mara nyingine kama adhabu. Matowashi ambao walipokea imani ya waebrania walijua ya kwamba kawaida hawakuruhusiwa kuabudu katika hekalu (Kumb. 23.1). Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi.