forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
821 B
Markdown
24 lines
821 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Isaya anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
|
|
|
|
# Ondoka, ondoka
|
|
|
|
Neno hili linarudiwa kusisitiza ya kwamba watu wanapaswa kuondoka haswa, ingawa sio mara hiyo hiyo.
|
|
|
|
# Ondoka kutoka hapa
|
|
|
|
Inachukuliwa kuwa watu wa Israeli walikuwa watumwa wa Babeli. Hii naweza kuwekwa wazi. "ondoka kutoka katika nchi ambapo ni mtumwa"
|
|
|
|
# usiguse chochote kichafu
|
|
|
|
Kitu ambacho Yahwe amesema hakifai kuguswa au kuliwa inazungumziwa kana kwamba kilikuwa kichafu kimwili. "usiguse kitu ambacho hakikubaliki kwa Yahwe"
|
|
|
|
# ondoka miongoni mwake
|
|
|
|
Hapa "mwake" inawakilisha Babelii
|
|
|
|
# Yahwe atakwenda mbele yako; na Mungu wa Israeli atakuwa mlinzi wako wa nyuma
|
|
|
|
Yahwe kulinda watu wake kutoka kwa maadui inazungumziwa kana kwamba alikuwa hodari ambao huondoka mbele ya watu na hodari wanaobakii nyuma ya watu kuwalinda.
|