sw_tn/isa/52/01.md

24 lines
1.1 KiB
Markdown

# Amka, amka
Neno hili linarudiwa kwa msisitizo na kuonyesha uharaka. Isaya kujaribu kuamsha watu inazungumziwa kana kwamba alikuwa akijaribu kuwaamsha kutoka usingizini.
# vaa nguvu yako
Kuwa na nguvu tena inazungumziwa kana kwamba nguvu ilikuwa mavazi ambayo mtu huvaa. "uwe na nguvu"
# Sayuni ... Yerusalemu
Zote hizi zina maana ya watu ambao huishi katika Yerusalemu. Isaya anazungumzia watu kana kwamba walikuwa wakimsikiliza. "watu wa Sayuni ... watu wa Yerusalemu"
# asiyetahiriwa au mchafu
Vivumishi vidogo vinaweza kuwekwa kama vivumishi. "Wale ambao hawajatahiriwa au wale ambao sio wasafi"
# wachafu
Hii ina maana ya watu wachafu. Mtu ambaye Mungu humchukulia kutokubalika kiroho au kunajisiwa inazungumziwa kana kwamba mtu alikuwa mchafu kimwili. "wale ambao hawakubaliki kwa Mungu"
# ataingia kwako
Hapa "kwako" ina maana ya Yerusalemu ambayo inawakilisha watu wanaoishi pale. Inaeleweka ya kwamba wasiotahiriwa na watu wachafu wataingia katika mji kuwashambulia watu. Maneno ambayo hayapo yanaweza kuongezwa kufanya maana wazi. "ingia mji wako kukushambulia"