sw_tn/isa/51/03.md

1015 B

Yahwe atafariji Sayuni

Mji wa Sayuni, ambao unaitwa Yerusalemu, hapa unawakilisha watu wa Sayuni. "Yahwe atafariji watu wa Sayuni"

atafariji maeneo yake yote yasiofaa

"atafarijii watu ambao wanashi katika maeneo yake yote yasiyofaa"

maeneo yake yasiofaa ... nyika zake ... jangwa lake tambarare

Neno "yake" ina maana ya Sayuni. Miji mara nyingi huzungumziwa kana kwamba ilikuwa wanawake.

maeneo yasiofaa

sehemu ambazo imeangamizwa

nyika yake alifanya kama Edeni, na jangwa lake tambarare ... kama bustani ya Yahwe

Misemo hii ina maana ya kwamba Mungu atafanya maeneno tupu ya israeli mazuri. Katika unabii, matukio ambayo yatatokea katika siku za usoni mara nyingi kufafanuliwa kama kuwa kipindi cha nyuma. Hii inasisitiza ya kwamba hakika yatatokea. "atafanya nyika zake kama Edeni na jangwa zake tambarare ... kama bustnai ya Yahwe.

shangwe na furaha zitapatikana ndani yake

Shangwe na furaha ina maana moja. Kukutwa kule ina maana ya kuwa kule. "kutakuwa na shangwe na furaha Sayuni tena"