sw_tn/isa/50/11.md

512 B

nyie wote mnaowasha moto ... miale ambayo umeiwasha

Hii inaendeleza sitiari kutoka kwa mstari wa nyuma wa watu ambao hutembea gizani. Hapa watu wanaojaribu kuishi kulingana na hekima yao badala ya kumtumaini Bwana wanazungumziwa kana kwamba wamewasha moto wao na kubeba tochi ili kuona gizani.

utalala chini katika nafasi ya maumivu

Hapa "kulala chini" ina maana ya kufa. Kufa kwa maumivu inazungumziwa kana kwamba ilikuwa kulala chini katika nafasi ambayo watapitia maumivu. "utakufa kwa mateso makubwa"