sw_tn/isa/48/03.md

676 B

Maelezo ya Jumla

Yahwe anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.

walitoka kutoka kwa kinywa changu

"Kinywa" ina maana ya mtu kuzungumza. "nilizungumza mambo haya"

musuli wako wa shingoni hukazika kama chuma, na kipaji chako cha uso kama shaba

Yahwe analinganisha kukazwa kwa misuli ya shingo zao na ugumu wa vipaji vyao vya uso kwa ugumu wa chuma na shaba. Hapa, kuwa na shingo iliyokazwa au kipaji cha uso kigumu ni sitiari ambayo ina maana ya watu kuwa wakaidi. "ni kana kwamba shingo zenu ni chuma na vichwa vyenu ni shaba"

nilitamka mambo haya kwako mapema; kabla havijatokea nilikujulisha

Huku ni kusema kitu hicho hicho mara mbili kwa ajili ya msisitizo.