sw_tn/isa/45/18.md

224 B

sio kama takataka

"ili isiwe tupu". Hapa neno "takataka" lina maana ya sehemu tupu, isiyozaa.

lakini aliiunda ili ikaliwe

Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "lakini aliiunda ili watu waweze kuishi juu yake"