sw_tn/isa/45/10.md

570 B

Taarifa ya Jumla

Yahwe anaendelea kukaripia wale ambao hubishana na yeye kuhusu kile anachofanya.

Ole wake asemaye kwa baba, ... 'Unazaa kitu gani?'

Yahwe anazungumzia wale ambao wangebishana naye kana kwamba walikuwa watoto ambao hawajazaliwa ambao hubishana na wazazi wao wenyewe.

Unalea kitu gani? .... Unazaa kitu gani?

Mtoto ambaye hajazaliiwa anauliza maswali haya ya balagha kukaripia wazazi wake kwa kumzaa. Hii naweza kutafsiriwa kama kauli. "Hautakiwi kuwa baba yangu ... Hautakiwi kunizaa mimi" au "Haunileii kwa usahihi ... Haunizai kwa usahihi".