sw_tn/isa/44/23.md

479 B

Imbeni, enyi mbingu ... utukufu wake katika Israeli

Hapa Isaya anazungumzia sehemu mbalimbali za uumbaji kana kwamba walikuwa watu na kuwaamuru kumsifu Yahwe.

enyi vina virefu vya dunia

"enyi sehemu za chini za dunia". Maana zaweza kwa 1) ya kwamba hii ina maana ya sehemu zenye vina virefu sana katika dunia kama vile mapango au makorongo na kuunda neno linalowakilisha kundi la maneno kama "mbingu" katika msemo uliopita au 2) ya kwamba hii ina maana ya sehemu ya wafu.