sw_tn/isa/44/09.md

1.0 KiB

Taarifa ya Jumla

Yahwe anaendelea kuzungumza

vitu wanavyofurahia navyo havina thamani

"sanamu wanazozifurahia hazina thamani"

mashahidi wao hawawezii kuona au kujua chochote

Msemo huu una maana ya wale ambao huabudu sanamu hawa na kudai kuwa mashahidi wa nguvu ya sanamu. Yahwe anazungumzia ukosefu wa uwezo wao kuelewa ukweli kana kwamba walikuwa vipofu. "wale ambao hutumika kama mashahidi kwa ajili ya sanamu hizi ni kama watu vipofu ambao hawajui chochote"

wataaibishwa

Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "wataaibika" au "sanamu zao zitaaibishwa"

Nan angeweza kuunda mungu au kuchonga sanamu ambayo haina thamani?

Yahwe anatumia swali hili kukemea wale ambao hutengeneza sanamu. Swali hili linaweza kutafsiriwa kama kauli. "Ni wapumbavu pekee wanaweza kuunda mungu au kuchonga sanamu ambayo haina thamani"

kuchonga sanamu ambayo haina thamani

Neno "haina thamani" haitofautishi kutofaa kwa sanamu kwa sanamu ambazo zina thamani, kwa sababu sanamu zote hazina thamani. "kuchonga sanamu ambazo hazina thamani"