sw_tn/isa/43/12.md

487 B

Taarifa ya Jumla

Yahwe anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.

hakuna atakayeweza kuokoa yeyote kutoka mkononi mwangu

Hapa neno "mkono" linawakilisha nguvu ya Yahwe. "hakuna mtu anaweza kuokoa yeyote kutoka kwa nguvu yangu"

nani anawvza kugeuza?

Yahwe anatumia swali hili kusema ya kwamba hakuna mtu anaweza kugeuza mkono wake. Inaweza kutafsiriwa kam kauli. Kugeuza mkono wake inawakilisha kumzuia kutofanya kitu. "hakuna ambaye ataigeuza" au "hakuna mtu anaweza kunizuia"