sw_tn/isa/43/10.md

985 B

Nyie ... mtumishi wangu

Hapa "nyie" ni wingi na ina maana ya watu wa Israeli. Msemo "mtumishi wangu" ina maana ya taifa, kwa ukamilifu.

Kabla yangu ... baada yangu

Kwa kuzungumza kwa njia hii, Yahwe hasemi ya kwamba kulikuwa na muda ambapo hakuwepo au kipindi ambacho hatakuwepo. Anasema ya kwamba yeye ni wa milele na kwamba miungu ambayo watu wa mataifa mengine huabudu hawako hivyo.

Kabla yangu hapakuwa na miungu aliyeumbwa

Hapa neno "kumba" inaonyesha ya kwamba Yahwe anazungumzia sanamu ambazo watu waliumba. Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Hakuna kati ya miungu ambao watu walitengeneza walikuwepo kabla yangu"

na hapatakuwa naye baada yangu

"na hakuna kati ya miungu hao atakuwepo baada yangu"

Mimi, mimi ni Yahwe

Neno "Mimi" inarudiwa kusisitiza lengo kwa Yahwe. "Mimi pekee ni Yahwe" au "Mimi mwenyewe ni Yahwe"

hakun mkombozi ila mimi

Hii inaweza kuelezwa kwa chanya. "Mimi ni mkombozi pekee" au "Mimi ndiye pekee mbaye naweza kukuokoa"