forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
525 B
Markdown
16 lines
525 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla
|
|
|
|
Yahwe anaendelea kuzungumza.
|
|
|
|
# Lakini hawa ni watu walionyanganywa na kuporwa
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Lakini adui amenyanganya na kupora watu hawa"
|
|
|
|
# walionyanganywa na kuporwa
|
|
|
|
Maneno haya mawili yana maana moja na husisitiza jinsi adui alivyowapora sana.
|
|
|
|
# wote wametegwa ndani ya mashimo, kushikwa mateka ndani ya magereza
|
|
|
|
Misemo hii miwili ina maana moja. Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "adui amewatega wote katika mashimo na kuwashika mateka katika magereza"
|