sw_tn/isa/42/03.md

576 B

Taarifa ya Jumla

Yahwe anaendelea kuzungumza.

Tete lililopondwa hataivunja, na utambi unowaka kwa chini hatauzima

Yahwe anazungumzia watu dhaifu na wasiojiweza kana kwamba walipondwa kama matete na kuwaka kwa chini kama utambi.

Tete lililopondwa

Tete ni shina la mmea refu na jembamba kama nyasi ndefu. Kama likipondwa, haliwezi kubeba uzito wowote.

hataivunja

"Mtumishi wangu hatavunja"

nchi za pwani

Hii ina maana ya watu ambao huishi katika visiwa na katika nchi zenye mipaka au ng'ambo ya pili ya Mediteranea. "watu ambao wanaishi katika nchi za pwani"