sw_tn/isa/40/27.md

1.1 KiB

Kwa nini unasema, Yakobo, na kutamka, Israeli ... uthibitisho"?

Swali linasisitiza ya kwamba hawatakiwi kusema wanachosema. "Hautakiwi kusema, enyi watu wa Israeli ... uthibitiisho'".

Kwa nini unasema, Yakobo, na kutamka, Israeli

Misemo hii miwili yote ina maana ya watu wa Israeli. "Kwa nini unasema, enyi watu wa Israeli"

Njia yangu imefichwa kutoka kwa Yahwe

Yahwe kutojua kinachotokea kwao inazungumziwa kana kwamba Yahwe hakuweza kuona njia ambayo ninasafiria. "Yahwe hajui kinatoke kwangu"

Mungu wangu hajihusishi juu ya uthibitisho wangu

Maana zaweza kuwa 1) "Mungu wangu hajihusishi juu ya wengine kunitendea kinyume n haki" au 2) "Mungu wangu hajihusishii juu kunitendea haki".

Je! haujajua? Haujasikia?

Isaya anatumia maswali haya kusisitiza ya kwamba watu wanatakiwaa kuja ukuu wa Yahwe. "Hakika unafahamu na umesikia!"

mwisho wa dunia

Sehemu katika dunia ambazo zipo mbali sana zinazungumziwa kana kwamba zilikuwa sehemu ambapo dunia huwa mwisho. Msemo huu pia huunda neno moja kwa ajilii ya maneno mengiine kumaanisha kila sehemu katikati ya hizi mwisho. "sehemu za mbali za dunia" au "dunia nzima"