sw_tn/isa/40/23.md

971 B

Hupunguza

"Yahwe hupunguza"

Tazama ... tazama ... tazama

Maneno haya yanaongeza msisitizo kwa kinachofuata.

wamepandwa muda si mrefu ... nao wananyauka

Nabii anazungumzia watawala kutojiweza mbele ya Yahwe kana kwamba walikuwa mimea mipya ambayo hunyauka pale upepo wa moto hupuliza juu yao.

wamepandwa muda si mrefu ... wameoteshwa muda si mrefu

Misemo hii miwili ina maana moja na inamaansha lengo ambalo mimea au mbegu inawekwa katika ardhi. Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "baada tu ya mtu kuipanda ... baada tu ya mtu kusia"

anapuliza juu yao

Nabii anazungumzia Yahwe kuondoa watawala kutoka kwenye madaraka kana kwamba Yahwe alikuwa upepo unaochoma juu ya mimea na kusababisha inyeuke.

upepo unawapuliza kama majani makavu

Tashbihi hii inaongeza sitiari ya watawala kuwa mimea na Yahwe kama upepo ambao husababisha wao kunyauka. Hukumu ya upepo wa Yahwe utaondoa mimea iliyonyauka kirahisi kama upepo unavyopuliza majani makavu.