sw_tn/isa/34/01.md

908 B

Taarifa ya Jumla

Yahwe anazungumza katika shairi.

Dunia na kila kitu kinachoijaza wanapaswa kusikiliza, ulimwengu, na vitu vyote vitokanavyo nao

Hapa dunia inazungumziwa kama inahitajika kumsikiliza Yahwe kusisitiza ya kwamba ipo chini ya mamlaka ya Yahwe. Misemo hii miwili ya sambamba ni mifano ya maneno kwa ajili ya watu wote wanaoishi ulimwenguni. "Katika sehemu zote duniani, kila mtu anapaswa kusikiliz kile nachosema"

ulimwengu, na vitu vyote vitokanavyo nao

Hii ni misemo ya sambamba ya pili. Maneno ambayo hayapo yanaweza kuongezwa katika msemo huu. "ulimwengu, na vitu vyote viunavyotoka kutoka kwake vinapaswa kusikiliza"

ameyaangamiza kabisa, ameyakabidhi kwa ajili ya kuchinjwa

Mara kwa mara manabii huzungumzia vitu ambavyo vitatokea katika siku za usoni kana kwamba vimekwisha tokea. Hii inasisitiza tukio litatokea hakika. "atawaangamiza kabisa, atawakabidhi katika machinjo"