sw_tn/isa/32/19.md

638 B

mvua ya mawe

"Mvua ya mawe" hutokea pale ambapo vipande vya barafu huanguka kutoka kwenye anga.

msitu unaangamizwa, na mji unateketezwa kabisa

Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "inaangamiza msitu na kuangamiza mj kabisa"

wewe ambaye unapanda kando na vijito vyote vitabarikiwa, wewe ambaye unawatuma ng'ombe na punda wako kulisha

Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. Hii ina maana ya Yahwe kubariki watu wake wote na inazungumzia vitu ambavyo ni kawaida kwa watu wake kufanya. "Yahwe atakubariki, unapopanda mazao yako katika mashamba kando ya vijito na unatuma ng'ombe wako na punda kulisha katika malisho"