sw_tn/isa/32/16.md

615 B

Maelezo ya Jumla

Isaya anaendelea kuzungumza.

hukumu itakaa ... haki itaishi

Isaya anafafanua "hukumu" na "haki" kama mtu ambaye anaishi katika maeneo haya. Hii ina maana ya watu ambao wanaishi katika maeneo haya watafanya kilicho haki na sahihi. "watu watafanya kwa haki katika nyika na watu watatenda kwa haki katika mashamba yenye rutuba.

Kazi ya haki itakuwa amani; na matokeo ya haki, utulivu na imani milele

Misemo hii miwili ni sambamba na yote hutoa matokeo ya haki. Inaweza ikajumlishwa. "Matokeo ya watu kutenda haki ni kwamba kutakuwa na amani, na utulivu na imani milele"

makazi

"sehemu"