sw_tn/isa/32/01.md

930 B

Tazama

Neno hili linatumika hapa kuwavuta nadhari ya watu kwa kile kinachosemwa baadaye. "Sikiliza"

Kila mmoja atakuwa kama hifadhi kutoka kwa upepo na kimbilio kutoka kwa dhoruba

Hii inalinganisha mfalme na waku ambao wanalinda watu katika hifadhi. "watawala watalinda watu kama hifadhi inavyofanya katika dhoruba"

kama vijito vya maji katika sehemu kavu

Huu ni ulinganisho mwingine ambao una maana ya watawala kutoa kwa ajili ya mahitaj ya watu. "watatoa kwa ajili ya watu kama vijito vya maji katika sehemu kavu"

kama kivuli cha mwamba mkubwa katika nchi iliyochoka

Huu ni ulinganisho mwingine ambao una maana ya watawala kutoa faraja na pumziko kwa ajili ya watu. "watatoa pumziko kwa ajili ya watu kama mwamba mkubwa unaotoa kivuli kwa watu waliochoka"

Kisha macho ... kwa makini

Misemo hii miwili inasisitiza ya kwamba viongozi watawawezesha watu kuelewa ukweli wa Mungu.

hawatafifia

"wataona vizuri"