sw_tn/isa/30/17.md

511 B

Elfu moja watatoroka katika tishio la mmoja; katika tishio la watano utatoroka

Neno "mwanajeshi" linaeleweka. "Wanajeshi elfu moja watatoroka katika tishio la mwanajeshi mmoja wa adui; katika tishio la wanajeshi watano wa adui wanajeshi wako wote watatoroka"

Elfu moja

"1,000"

mpaka aliyesalia wa kwako ataakuwa kama fimbo ya bendera juu ya mlima, au kama bendera juu ya kilima

Tashbihi hii ina maana ya kwamba kutakuwa na watu wachache sana waliobaki mpaka watakuwa kama bendera moja juu ya kilima.