forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
1.2 KiB
Markdown
28 lines
1.2 KiB
Markdown
# watoto waasi
|
|
|
|
Yahwe anazungumzia kuhusu watu wake kana kwamba walikuwa watoto wake.
|
|
|
|
# hili ni tamko la Yahwe
|
|
|
|
Hii inaweza kuandikwa ili kwamba nomino dhahania "tamko" inaelezwa kama kitenzi "kusema kwa dhati". "hiki ndicho kile Yahwe anachotamka" au "hiki ndicho kile Yahwe amesema kwa dhati"
|
|
|
|
# Wanafanya mipango, lakini sio kutoka kwangu
|
|
|
|
Hii inaweza kuandikwa ili kwamba nomino dhahania "mipango" iweze kuandikwa kama kitenzi "kupanga". "Wanapanga kufanya mambo, lakini hawaniulizi nini nachotaka wao kufanya"
|
|
|
|
# lakini hawakuongozwa kwa Roho wangu
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "lakini Roho waangu hakuwaongoza"
|
|
|
|
# wanaongeza dhambi kwa dhambi
|
|
|
|
Kuendelea kutenda dhamb inazungumziwa kana kwamba dhambi iliikuwa maumbo ambayo yaliweza kupangwa juu ya mengine. "wanaendelea kutenda dhambi zaidi na zaidi"
|
|
|
|
# Wanatafuta ulinzi kutoka kwa Farao
|
|
|
|
Hii inaweza kuandikwa ili kwamba nomino dhahania "ulinzi" inaelezwa kama kitenzi "linda". "Wanamuuliza Farao kuwalinda"
|
|
|
|
# na kufuata kimbilio katika kifuli cha Misri
|
|
|
|
Ulinzi wa Misri kutoka kwa jeshi la adui unazungumziwa kana kwamba ulikuwa kivuli ambacho hulinda mtu kutoka na joto linalochoma la jua. "wanawategemea Wamisri kuwaweka salama"
|