sw_tn/isa/28/07.md

782 B

Lakini hata hawa

"Lakini hata viongozi"

Kuhani na nabii

Hii haimaanishi kuhani mmoja au nabii. Ina maana ya makuhani na manabii kwa ujumla. "Makuhani na manabii"

hupepesuka kwa mvinyo, na kuyumbayumba kwa kinywaji kikali

Misemo hii miwili ina maana moja na inasisitiza ya kwamba makuhani na manabii hawawezi kufanya kazi yao kwa sababu wamelewa sana. "kujikwaa kwa sababu wamelewa"

wanamezwa kwa mvinyo

Kunywa kwao sana hadi wanashindwa kufikiri kwa usahihi inzungumziwa kana kwamba mvinyo imewameza. Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "divai inawafanya kuchanganyikiwa"

wayumbayumba katika kuangalia na kupepesuka katika maamuzi

Kama ambavyo wamelewa sana kutembea sawa sawa, wamelewa sana kuelewa maono Mungu anayowapatia au kufanya maamuzi sahihi.