forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
962 B
Markdown
28 lines
962 B
Markdown
# Yahwe wa majeshi
|
|
|
|
Yahwe wa majeshi ya Israeli.
|
|
|
|
# atakuwa taji zuri na taji lenye uzuri
|
|
|
|
Yahwe anazungumziwa kana kwamba alitakiwa kuwa taji zuri ambalo watu wanaomheshimu kama mfalme wao wa kweli wangevaa.
|
|
|
|
# taji zuri na taji lenye uzuri
|
|
|
|
Hii ina maana ya kitu kimoja. "taji zuri"
|
|
|
|
# watu wake, roho ya haki kwa ajili yake ambaye hukaa katika hukumu, na nguvu
|
|
|
|
Hii inaweza kuandikwa ili kwamba nomino dhahania "haki" inaelezwa kama kitenzi "kuwa na haki". "watu". Yahwe atasababisha waamuzi kuwa na haki na kutoa nguvu"
|
|
|
|
# roho ya haki
|
|
|
|
Mtu ambaye ana "roho ya haki" ni mtu ambaye ana sifa za haki na ni mtu mwenye haki.
|
|
|
|
# hukaa katika hukumu
|
|
|
|
Lahaja hii ina maana ya mtu ambaye ana mamlaka ya kuhukumu.
|
|
|
|
# na nguvu kwa wale ambao huwageuza maadui zao katika malango yao
|
|
|
|
Hapa "kuwageukia" ni lahaja ambayo ina maana ya kushinda vitani. "na Yahwe atasababisha wanajeshi kuwa na nguvu ili kwamba wawashinde adui zao pale ambapo maadui wanashambulia mji wao"
|