sw_tn/isa/27/07.md

1.2 KiB

Je! Yahwe amemshambulia Yakobo na Israeli kama alivyoshambulia mataifa ambayo yaliwashambulia?

Swali linatumika kutofautisha ukali wa adhabu ya Mungu. "Yahwe kwa uhakika aliadhibu adui wa mataifa zaido na alivyoadhibu watu wa Israeli"

Yakobo ... Israeli

Haya yanawakilisha vizazi vya Yakobo.

Je! Yakobo na Israeli wameuwawa kama katika kuchinja kwa mataifa yale ambayo yaliuwawa na wao?

Swali hili pia linatumika kutofautisha ukali wa adhabu ya Mungu. Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Yahwe hajawaua watu wa Israeli kama alivyowaua adui zake kutoka kwa mataifa mengine"

Kwa kipimo sahihi umepambana

Hapa "umepambana" ina maana ya Mungu. Yahwe kuadhibu watu wake kama walivyohitaji inazungumziwa kana kwamba adhabu ya Mungu ilikuwa kity ambacho kiliweza kupimwa. "Lakini uliwaadhibu kama ilivyohitajika"

kuwatuma mbali Yakobo na Israeli

Hii inawakilisha uzao wa Yakobo "kuwatuma Waisraeli mbali"

aliwafukuza mbali kwa upepo wake mkali, katika siku ya upepo wa mashariki

Nguvu ya Yahwe kuwatuma watu wake mbali katika nchi ya kigeni inazungumziwa kana kwamba Yahwe alitumia upepo kuwapuliza mbali mpaka nchi ya kigeni. "nguvu ya Yahwe kuwaendesha nje kama upepo mkali kutoka mashariki"