sw_tn/isa/24/19.md

831 B

Dunia itavunjwa kabisa, dunia itararuliwa kabisa; dunia itatikiswa kwa nguvu

Vishazi hivi vinaweza kuwa katika hali ya kutenda. "Dunia itavunjika na kugawanyika; dunia itatikisika kwa nguvu"

Dunia itapepesuka kama mwanamume mlevi na itayumba huku na kule kama kibanda

Tashbihi hizi zinasisitiza jinsi dunia itakavyotikisa huku na kule.

Dhambi yake itakuwa nzito juu yake na itaanguka na haitainuka tena

Hii inazungumzia dunia kana kwamba ilikuwa mtu na wadanganyifu walikuwa vyombo vizito. Mtu hujaribu kubeba mzigo mzito lakini uzito unasababisha mtu kunguka na kutoweza kusimama juu. Hapa dunia inawakilisha watu wa dunia ambao husababisha Yahwe kuangamiza dunia kwa sababu ya dhambi zao. "Dhambi za watu ni nyingi na kwa hiyo Yahwe ataangamiza dunia, na dunia itakuwa kama mtu ambaye huanguka na hawezi kusimama juu"