sw_tn/isa/24/06.md

548 B

Taarifa ya Jumla

Isaya anaendelea kufafanua kipindi katika siku za usoni ambapo Mungu atahukumu dunia. Manabii mara nyingine hufafanua tukio la siku za usoni kama kitu cha nyuma au cha sasa. Hii inasisitiza tukio kufanyika kwa uhakika.

laana humeza dunia

Yahwe kulaani dunia na kuiangamiza inazungumziwa kana kwamba laana ilikuwa aidha mnyama pori ambaye anakula kabisa dunia au moto ambao huchoma kabisa dunia.

na wakazi wake wanakutwa na hatia

Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "na Yahwe atatamka ya kwamba watu wana hatia"