forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
860 B
Markdown
24 lines
860 B
Markdown
# Dunia itaharibiwa kabisa na kuvuliwa kabisa
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Yahwe atahariibu kabisa dunia na ataondoa kila kitu chenye thamani"
|
|
|
|
# Yahwe amanena neno hili
|
|
|
|
Hapa "neno" linawakilisha kile Yahwe alichosema. "Yahwe amesema angefanya"
|
|
|
|
# Dunia inakauka na kunyauka, dunia inakauka na kutokomea
|
|
|
|
Misemo hii miwili ina maana moja. "Kila kitu juu ya dunia kitakauka na kufa"
|
|
|
|
# Dunia ... ulimwengu
|
|
|
|
Zote hizi zinawakilisha kila kiitu ambacho kipo juu ya dunia.
|
|
|
|
# Dunia inachafuliwa na wakazi wake
|
|
|
|
Watu kutenda dhambi na kufanya dunia kutokubalika kwa Mungu inazungumziwa kana kwamba watu walifanya dunia kuwa chafu kimwiili. Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Watu wamechafua dunia"
|
|
|
|
# wamevunja sheria, kukiuka amri, na kuvunja agano la milele
|
|
|
|
"hawajatii sheria na amri za Mungu, na wamevunja agano la milele la Mungu"
|