forked from WA-Catalog/sw_tn
680 B
680 B
Tamko
"Hivi ndivyo Yahwe anachotamka" au "Huu ni ujumbe wa Yahwe"
juu ya bondo la maono
Hapa "Bonde" ina maana ya wale ambao wanaishi katika bonde, yaani, Yerusalemu. "juu ya wale ambao wanaishi katika Bonde la Maono" au "kuhusu wale ambao wanaishi Yerusalemu"
Ni sababu ipi ambayo wote mmekwenda juu ya dari za nyumba
Isaya anatumia swali kukaripia watu wa Yua. "'Hautakiwi kwend na kusimama juu ya dari za nyumba"
mji uliojaa shangwe
"mji uliojaa watu wanaoshangilia"
Wafu wako hawakuawa kwa upanga
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Wanajeshi maadui hawakuwaua watu wako"
kwa upanga
Hapa "upanga" inawakilisha wanajeshi ambao hupigana vitani.