forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
982 B
Markdown
40 lines
982 B
Markdown
# Tamko
|
|
|
|
"Hivi ndivyo Yahwe anavyotamka" au "Huu ni ujumbe kutoka kwa Yahwe"
|
|
|
|
# kuhusu Arabuni
|
|
|
|
Arabuni ina maana ya idadi ya watu wa Arabuni. "kuhusu watu wa Arabuni"
|
|
|
|
# Katika nyika ya Arabuni
|
|
|
|
Arabuni haina msitu. "mbali kutoka na barabara ya Arabuni" au "Nje katika vichaka vya Arabuni"
|
|
|
|
# misafara
|
|
|
|
kikundi cha watu wanaosafiri pamoja
|
|
|
|
# Wadedani
|
|
|
|
Hili ni kundi la watu ambao wanaishi Arabuni.
|
|
|
|
# nchi ya Tema
|
|
|
|
Hili ni jina la mji Arabuni.
|
|
|
|
# wakimbizi
|
|
|
|
Mkimbizi ni mtu ambaye hukimbia mbali ili adui wake asimkamate.
|
|
|
|
# kwa mkate
|
|
|
|
Hapa "mkate" inawakilisha chakula kwa ujumla.
|
|
|
|
# kutoka kwa upanga, kutoka kwa upanga uliotolewa, kutoka kwa upinde uliopindwa
|
|
|
|
Hapa "upanga" na "upinde" unawakilisha wanajeshi wanaoshambulia wakazi wa Tema. "kutoka kwa adui zao ambao huwashambulia kwa upanga na upinde"
|
|
|
|
# kutoka kwa uzito wa vita
|
|
|
|
Hofu kuu na mateso ambayo inapitiwa wakati wa vita inazungumziwa kana kwamba vita ilikuwa uzito mkubwa juu ya watu. "kutoka na vitisho vya vita"
|