forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
951 B
Markdown
28 lines
951 B
Markdown
# jiwe la nguzo katika mpaka wa Yahwe
|
|
|
|
Msemo "mpaka" ina maana ya mpaka wa Misri. "jiwe la nguzo kwa Yahwe katika mpaka wa Misri"
|
|
|
|
# itakuwa kama ishara na shahidi kwa Yahwe wa majeshi katika nchi ya Misri
|
|
|
|
Nomino dhahania "ishara" na "shahidi" inaweza kuelezwa kwa vitenzi "onyesha" na kuthibitisha. "Dhabahu itaonyesha na kuthibitisha ya kwamba Yahwe wa majeshi yupo katika nchi ya Misri"
|
|
|
|
# kwa Yahwe wa majeshi katika nchi ya Misri
|
|
|
|
Yahwe kuwa katika nchi ya Misri inawakilsiha watu wa Misri kumuabudu yeye. "ya kwamba watu katika nchi ya Misri humwabudu Yahwe wa majeshi"
|
|
|
|
# Watakapomlilia
|
|
|
|
"Wamisri watakapolia"
|
|
|
|
# kwa sababu ya wakandamizaji
|
|
|
|
"kwa sababu watu wanatendea kwa ukatili" au "kwa sababu wengine wanasababisha wao wateseke"
|
|
|
|
# atawatumia mkombozi na mtetezi
|
|
|
|
"Yahwe atamtuma mtu kuwaokoa na kuwatetea Wamisri"
|
|
|
|
# atawaokoa
|
|
|
|
Nani ambaye Yahwe atatetea kwao inaweza kuwekwa wazi. "Yahwe atawaokoa Wamisri kutoka kwa wakandamizaji wao"
|