sw_tn/isa/19/11.md

1022 B

Wakuu wa Soani ni wapumbavu kabisa. Ushauri wa washauri wenye hekima kabisa wa Farao umekuwa hauna maana

Misemo hii miwili ina maana moja. Aidha wakuu wa Soani ndio washauri wenye hekima kabisa au Farao, au kuna kundi lingine la watu ambalo pia linaonyeshwa kuwa pumbavu.

Soani

Huu ni mji katika Misri ya kaskazini.

Unawezaje kusema kwa Farao ... wafalme?

Isaya anatumia swali kukejeli wale walio Misri wanaodai kuwa na hekima. "Mnasema kwa upumbavu kwa Farao ... wafalme"

Wako wapi basi wanaume wenu wenye hekima?

Isaya anatumia swali kukejeli wanaume wenye hekima. Neno "wenu" ina maana ya Farao. "Hauna wanaume wowote wenye hekima" au "Wanaume wako wenye hekima ni wapumbavu"

Waache wakuambie na kufanya kujulikana kile Yahwe wa majeshi anapanga kuhusu Misri.

isaya anadokeza ya kwamba wanamume wenye hekima wanatakiwa kuweza kuelewa mipango ya Mungu, lakini Isaya haamini kiukweli kuwa wana hekima. "kama walikuwa na hekima kweli, wangeweza kukuambia kile Yahwe wa majeshi anavyopanga kuhusu Misri"