sw_tn/isa/19/07.md

892 B

mashamba yaliyopandwa ya Nile

"mashamba karibu na Mto Nile ambapo watu wamepanda mazao"

wavuvi watalia na kuomboleza, na wote ambao hurusha ndoano katika Mto wataomboleza, na wale ambao hutawanya nyavu katika maji watahuzunika

Misemo hii mitatu ina maana moja. Ikibidi, sababu ya wao kuhuzunika inaweza kuwekwa wazi. "Wavuvi ambao hushika samaki kwa ndoano au nyavu watabeba kwa kufa moyo kwa sababu samaki wa Nile watakuwa wamekufa"

hurusha ndoano katika Mto Nile

Ili kukamta smaki, baadhi ya watu waliweka chakula kidogo katika ndoano, kufunga ndoano katika kamba, na kurusha ndoano katika maji. Samaki anapojaribu kula chakula, mdomo wake unanaswa katika ndoano, na mtu huvuta samaki nje ya maji.

hurusha

"rusha"

kutawanya nyavu juu ya maji

Ili kukamata samaki, baadhi ya watu hutupa wavu juu ya maji. Samaki anapokamtwa ndani yake, wanavuta wavu na samaki nje ya maji.