sw_tn/isa/17/10.md

544 B

Kwa kuwa umesahau

Hapa "umesahau" ina maana ya watu wa Israeli. Neno "kusahau haimaanishi hawakuwa na kumbukumbu ya Mungu. Ina maana hawakumtii tena. "Kwa kuwa hamtii tena"

Mungu wa wokovu wako

"Mungu ambaye anakuokoa"

na umepuuzia mwamba wa nguvu yako

Hii inalinganisha Mungu na jiwe kubwa ambalo watu wanweza kupanda kutoka kwa adui zao au kujificha nyuma. "na wamemsahau Mungu, ambaye ni kama mwamba unaowalinda" au "na wamemsahau yule ambaye anawalinda"

mavuno yatashindwa

"hapatakuwa na matunda mengi kwa ajili yako kuvuna"