forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
1.1 KiB
Markdown
28 lines
1.1 KiB
Markdown
# Taarifaya Jumla
|
|
|
|
Hii inaendeleza kufafanua nchi ya Moabu kama shamba kubwa la mizabibu. Mungu anaelezea matukio yatakayotokea katika siku za usoni kana kwamba yanatokea katika wakati wa sasa.
|
|
|
|
# Hasa nitalia
|
|
|
|
Katika 16:9-10 neno "nitalia" lina maana ya Yahwe.
|
|
|
|
# nitakumwagilia kwa machozi yangu
|
|
|
|
Mungu anazungumza kuhusu majonzi yake kwa miji hii kana kwamba angelia sana na machozi yake mengi yataanguka juu yao. "Nitalia sana juu yako"
|
|
|
|
# Yazeri ... Sibma
|
|
|
|
Haya ni majina ya miji
|
|
|
|
# Heshboni ... Eleale
|
|
|
|
Haya ni majina ya miji mikubwa na miji midogo.
|
|
|
|
# Kwa maana katika mashamba yako ya matunda ya kipindi cha joto na mavuno nimemaliza keleleza shangwe
|
|
|
|
"kelele za shangwe" zinawakilisha watu kupiga kelele za shangwe juu ya mavuno ya matunda ya miti. "Kwa sababu ya kile nitakachofanya, hautapiga kelele tena ya shangwe utakapovuna mashamba yako ya matunda ya kipindi cha joto"
|
|
|
|
# Nimeweka mwisho kelele za yule ambaye hukanyaga
|
|
|
|
Hapa "kelele" ina maana ya furaha ya watu wanaokanyaga mizabibu kutengeneza divai. "kwa hiyo watu wanaokanyaga mizabibu hawapigi kelele za furaha"
|