1.2 KiB
Yahwe wa majeshi
Yahwe wa majeshi ya Israeli
kama nilivyodhamiria, ndivyo itakavyokua; na kama nilivyokususida, basi ndivyo itakuwa
Misemo hii miwili ina maana moja. "vitu ambavyo nimepanga hakika vitatimia"
nitavunja Ashuru katika nchi yangu
Kuvunja inawakilisha kushinda. "Nitashinda Ashuru katika nchi yangu" au "Nitasababisha Ashuru katika nchi yangu kushindwa"
Ashuru
Hii inawakilisha mfalme wa Ashuru na jeshi lake. "mfalme wa Ashuru na jeshi lake" au "jeshi la Ashuru"
kumkanyaga chini ya mguu
Hii inawakilisha kumshinda kabisa
Kisha nira yake itainuliwa kutoka kwao na mzigo wake kutoka katika bega lao
Hii inaweza kuelezwa kwa kitenzi cha kutenda. "Kisha nitainua nira yake kutoka kwao na mzigowake kutoka katika bega lao"
Kisha nira yake itainuliwa kutoka kwao na mzigo wake kutoka katika bega lao
Misemo hii miwili ina maana moja. Kuinua nira na mzigo inawakilisha kuwaweka watu huru katika utumwa. "Kisha nitawaweka Waisraeli huru kutoka katikautumwa wa Ashuru kama kutoa mzigo mzito kutoka katika mabega yao"
nira yake ... mzigo wake
Neno "yake" ina maana ya Ashuru.
kutoka kwao ... kutoka katika bega lao
Maneno "kwao" na "lao" ina maana ya watu wa Israeli.