sw_tn/isa/10/30.md

926 B

binti wa Galimu

Neno "binti" hapa lina maana ya watu ambao huishi katika mji. "Galimu" au "watu wa Galimu"

Galimu ... Laisha ... Anathothi ... Madmena ... Gedimu ... Nobu

Haya ni majina ya miji zaidi na vijiji karibu na Yerusalemu ambayo jeshi la Ashuru lilisafiri katikati kusababisha hofu miongoni mwa watu. Zote hizi zina maana ya watu ambo huishi katika maeneo haya.

atasimama Nobu na kutikisa ngumi yake

Hapa "atasimama" na "yake" ina maana ya mfalme wa Ashuru na wanajeshi wake. Watu walikuwa wakitikisa ngumi zao kwa watu ambao walikuwa wakiwatisha. "jeshi la Ashuru litasimama Nobu na kutisha"

mlima wa binti wa Sayuni, kilima cha Yerusalemu

Maneno "mlima" na "kilima" ni mfano wa maneno kwa ajili ya watu ambao wanaishi ndani yao. "watu wa Mlima Sayuni na watu wanaoishi katika kilima kilicho Yerusalemu". Maneno "mlima wa binti wa Sayuni" ina maana ya kitu kimoja kama maneno "kilima cha Yerusalemu".