sw_tn/isa/10/03.md

1.0 KiB

Mtafanya nini katika siku ya hukumu ... mbali?

Isaya anatumia swali kukaripia wale ambao Yuda anadhuru maskini na watu dhaifu. "Utaweza kutofanya kitu katika siku ya hukumu ... mbali!"

siku ya hukumu

"siku ambayo Yahwe anakuja kukuhukumu" au "siku ambayo Yahwe anakuadhibu"

Utatoroka kwa nani kwa ajili ya msaada, na utaacha utajiri wako wapi?

Isaya anatumia swali kukaripia wale ambao wapo yuda ambao hudhuru maskini na watu dhaifu. "Hauna sehemu ya kukimbilia kwa msaada, na hautakuwa na sehemu ya kuficha utajiri wako!"

Hakuna kinachobaki

"Hakuna kitu kinachobaki kwa ajili yako kufanya"

na unajikunyata miongoni mwa wafungwa au kuanguka miongoni mwa waliouliwa

"'na adui zako watakuchukua kama wafungwa au watakuua"

Katika haya yote, hasira yake haishuki

"Hata kama vitu hivi vyote vikitokea, bado ana hasira".

mkono wake bao unanyoshwa nje

Isaya anazungumza kana kwamba Yahwe alikuwa mtu aliyetaka kumpiga mtu mwingine kwa ngumi yake. Hii ni sitiari kwa ajili ya Yahwe kuadhibu Israeli. "atakuwa tayari kuwaadhibu"